Cristiano Ronaldo Kususia Mechi Za Al-Nassr


Mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, ambaye leo anatimiza miaka 41, huenda anatarajiwa kususia mechi ya pili kwa Al-Nassr licha ya kuchapisha picha yake akifanya mazoezi, na badala yake akaomba kuondoka katika klabu hiyo ya ya Ligi Kuu ya Saudi Pro mnamo mwezi Juni. (ESPN)

 

Ikiwa Ronaldo ataondoka Al-Nassr, kuna uwezekano mkubwa wa kurudi katika klabu yake ya kwanza ya Sporting Lisbon. (Fichajes - kwa Kihispania)

Kiungo wa kati wa Ureno Ruben Neves, 28, ambaye alihusishwa na uhamisho wa Januari kwenda Manchester United miongoni mwa vilabu vingine, amesaini mkataba mpya katika klabu ya Saudi Pro League Al-Hilal hadi Juni 2029. (Fabrizio Romano)

 

Post a Comment

0 Comments