Mshambuliaji wa Simba Sc “Selemani Mwalimu” amefungiwa na Bodi ya Ligi kwa michezo Mitatu na Faini ya Shilingi Millioni (1,000,000) Kwa kosa la kumpiga Kiwiko kwa makusudi mchezaji wa (Dodoma Jiji) “Andy Lobulka Bikoko” Kwa maana hiyo Sele, …
Read moreMashindano haya yanatumika kama maandalizi ya Kombe la Dunia la Wanawake la 2027, ambapo timu nne za Afrika zitafuzu moja kwa moja, na mbili zaidi zitashiriki katika mechi za kufuzu za kimataifa. Awali, WAFCON ilipangwa kuchezwa kuanzia Machi 17 …
Read moreSaa chache baada ya Singida Back Stars kutangaza kumsimamisha kwa miezi mitatu leo, Ijumaa, Februari 27, 2026, kiungo Khalid Aucho kwa kumtuhumu kuwa mtovu wa nidhamu, mchezaji huyo ameibuka na kukana tuhuma hizo. Kupitia ukurasa wake wa Instagra…
Read moreTaarifa kuhusu Jonathan Sowah, Simba SC wameripotiwa kumtuhumu kwa kuchukua rushwa kutoka kwa Yanga na Singida Black Stars katika mechi dhidi yao bila ushahidi. Amekatwa 50% ya mshahara wake, kusimamishwa kazi na kurudishwa Dar es Salaam kutoka…
Read moreSerikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Michezo imeridhia rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club, hatua inayotarajiwa kuimarisha mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo, kuongeza uwazi wa umiliki na kufung…
Read moreWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa kuipa Simba majibu ya kinachoendelea kuhusu mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji. Makonda amesema kuwa msajili an…
Read moreMwanzoni mwa msimu mashabiki wa Liverpool waligundua jambo kuhusu Liverpool. Lilihusu tabia ya kufunga magoli katika dakika za mwisho za mchezo. Federico Chiesa alishangalia bao lake la dakika 88 dhidi ya Bournemouth siku ya ufunguzi wa msimu wa Li…
Read moreBaada ya ushindi dhidi ya Mashujaa na kufikisha pointi 27 katika mechi 15 za Ligi Kuu, JKT Tanzania imebakiza ushindi tatu (pointi tisa) ili kufikia rekodi ya alama 36 ilizokusanya msimu uliopita katika mechi zote za msimu. Tofauti na msimu uliop…
Read moreMshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, ambaye leo anatimiza miaka 41, huenda anatarajiwa kususia mechi ya pili kwa Al-Nassr licha ya kuchapisha picha yake akifanya mazoezi, na badala yake akaomba kuondoka katika klabu hiyo ya ya Ligi Kuu ya Saudi …
Read moreSenegal ndio mabingwa wa awamu ya 35 ya michuano ya soka barani Afrika afcon yalioandaliwa nchini Morocco. Hii ni baada ya kuwachabanga wenyeji Morocco bao moja kwa nunge kwenye fainali ya kihistoria iliyokuwa na matukio mengi yenye utata yaliocha…
Read more
Social Network